ILULA IRINGA TANZANIA

ILULA IRINGA TANZANIA
KIKOTI.COM BLOG - ILULA IRINGA TANZANIA / 0769694963 .......................................

Jumatatu, 15 Agosti 2016

KIKOTI EDUCATION CENTRE

Picha: wanafunzi wa shule ya msingi ilula wakiwa na walimu wa kikoti education centre walipotembelewa shuleni kwao tarehe 15/06/2016
picha: wanafunzi wa shule ya msingi isoliwaya kikoti education centre walipowatembelea shuleni hapo


KIKOTI EDUCATION CENTRE (K.E.C)
MAHALI: ILULA MADIZINI KARIBU MAJENGO YA KANISA KATORIKI
Mzazi/Mlezi wa ………………………………………………,kikoti education centre inapenda kukutarifu kuwa inatarajia  kuaanza kutoa elimu ya pre-form one kwaajili ya maandalizi ya kidato cha kwanza. Kuanzia tarehe 09/09/2016.Kwa gharama ya shilingi elfu ishirini(20,000) tu kwa muda wa miezi mitatu(3), ambapo mwanafunzi atapewa vitu vifuatavyo:-
1)      Tisheti  yenye jina la kituo
2)      Daftali, peni na pensel
3)      Vitabu vya masomo husikaVitakuwepo
4)      Mitihani kila wiki kupima maendeleo ya mwanafunzi
5)      Masomo yatakayopewa kipaumbele ni masomo yote ya sayansi(biology, chemistry,physics, mathematics na English ,GEOGRAPHY)
-          Mlete mwanao apate elimu bora kutoka kwa walimu bora na wenye taaluma na maadili ya ualimu kutoka vyuo vikuu bora Tanzania
Pia kikoti education centre wanaendelea na kutoa tuition kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza mpaka cha sita kama kawaida
OUR MOTTO: EDUCATION FOR LIFE
Kwa mawasiliano zaidi tupigio kwa namba 0769694963, 0625682117 au 0757927380 au fika kikoti education centre kwa maelezo zaidi: MUDA:kuanzia saa moja na nusu (JUMATATU MPAKA JUMAMOSI)
MAHALI : ilula madizini- majengo ya kanisa katoriki,  mita 50 kutoka soko la TASAF.


Magazeti ya Leo jumatatu ya tarehe 15/08/2016

Kikoti education centre 
Inapenda kuwataarifu wanafunzi wake wote wanaotarajia kuhitimu darasa la saba tarehe 08/09/2016 kuwa itaanza usajiri na kufundisha pre form one kuanzia tarehe 09/09/2016 katika kituo chao cha ilula Madizini katika majengo ya kanisa katoriki 
GHARAMA: 20000 KWA MUDA WA MIEZI MITATU
MWANAFUNZI ATAPEWA : TISHETI, PENI PENSEL NA DAFTALI PIA VITABU VITAUZWA NA KUGAWIWA KWA MAKUNDI
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NO 0769694963 AU FIKA KIKOTI EDUCATION CENTRE ILULA MADIZINI MAJENGO YA KANISA KATORIKI MADIZINI 
EDUCATION FOR LIFE