Jumanne, 18 Julai 2017
Jumatatu, 17 Julai 2017
Jumapili, 16 Julai 2017
Jumamosi, 15 Julai 2017
Feza Girls Yaibuka kinara

Shule
nyingine zilizoibuka kidedea katika matokeo hayo ni Marian Boys,
iliyoshika nafasi ya pili, Kisimiri (Arusha) imeshika nafasi ya tatu na
Ahmes (Pwani) imeshika nafasi ya nne.
Shule
nyingine ni Marian Girls (Pwani) iliyoshika nafasi ya tano, Mzumbe
(Morogoro) nafasi ya sita, St Marry Mazinde Juu (Tanga) nafasi ya saba,
Tabora Boys (Tabora) nafasi ya nane, Feza BOYS (Dar es Salaam) nafasi ya
tisa na Kibaha ya Pwani iliyoshika namba kumi.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)