Kurasa

Jumanne, 21 Juni 2016

Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni Kimyakimya

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3bKyzxtKYL76P-vuVlq3rm0ja7lfhYCpwfHC0NAuZlp5ZBmjzib29EDPjzoSqRkwWaHy_zbWtBEsT2m0JM6rQArepqB6Pgrd9sszmGssvheN96loa08SEvql370QYYz8xA-M-xEgGlV9l/s1600/1.jpg
Wabunge wa Ukawa wameendelea kususia vikao vinavyoongozwa na Dk Tulia Ackson, lakini leo wametoka kimyakimya bila mbwembwe kama za jana.

Kwa sasa kamati ya uongozi ya umoja huo imeingia kufanya kikao kujadili mustakabali wao.

Mbunge wa Vunjo (NCCR-Mageuzi), James Mbatia amesema watatoa taarifa kamili baada ya kumaliza kikao hicho.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni