
Shule
nyingine zilizoibuka kidedea katika matokeo hayo ni Marian Boys,
iliyoshika nafasi ya pili, Kisimiri (Arusha) imeshika nafasi ya tatu na
Ahmes (Pwani) imeshika nafasi ya nne.
Shule
nyingine ni Marian Girls (Pwani) iliyoshika nafasi ya tano, Mzumbe
(Morogoro) nafasi ya sita, St Marry Mazinde Juu (Tanga) nafasi ya saba,
Tabora Boys (Tabora) nafasi ya nane, Feza BOYS (Dar es Salaam) nafasi ya
tisa na Kibaha ya Pwani iliyoshika namba kumi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni