ILULA IRINGA TANZANIA

ILULA IRINGA TANZANIA
KIKOTI.COM BLOG - ILULA IRINGA TANZANIA / 0769694963 .......................................

Jumatano, 8 Machi 2017

Magazeti ya leo jumatano ya tarehe 08/03/2017

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh44QuctPy048aWnxqEjcmHuCxAnml7WulB_xmYUxQi3xSg0noGusbBdTxf0P5SAMJ-rRcLCOp9PbtGzzUSxoScaqeiXXfsJ2xMpViexQF1q2YAkc2obDirZeaRzLkbTWRbxpPLc5U90UCi/s1600/FullSizeRender_18.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhzxzEK5DcTApIahwAVxUTyatI7HWm5WdKir8h-Dc38JtpKxljA7s2Syfsp2KRHi1fxe3MV2GLJmfkeehHJU9vM4TJ1Cxuaewm-gxSqzDqmygr3ZnCo_OiXpnonYmK8lV0LrEgCZXSgvNlt/s1600/FullSizeRender_19.jpg

Mrisho Mpoto awataka wananchi kuangalia utendaji kazi wa Makonda na siyo vyeti Vyake

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi412G5PyN6Td1leSBJyz3jLwLAkHVP25qUPlE5FDT9sV5prAxyzlVzJGEQSe2M7R1hJhUacz9V1w4owDT8tgQGf4VfxOs6XTtC0IuLIp1P75g2Bx-xNVddk1mHI05FupjuQPCkElosIxkd/s1600/1.jpg 
Msanii wa muziki wa asili nchini Mrisho Mpoto ameamua kumkingia kifua RC Makonda ambaye kwa siku za karibuni amekuwa aki-trend kwenye mitandao ya kijamii akituhumiwa kufoji vyeti.

Mpoto amedai anashangaa kuona hata wale ambao walikuwa wanamsupport na kumsifia mkuu huyo wameshinndwa kufungua midomo yao.

“Hii nchi ya ajabu sana ukifanya vizuri lazima upate maadui mpaka wakushushe, ndiyo waanze kumpansisha mwingine. Wako wapi waliosema Makonda songa mbele usirudi nyuma? mko wapi mliomuita Makonda shujaa mkombozi wa Wa watoto wetu, leo kila mtu anamruka na kuona hakuna alichofanya This is not Fair at all,” alianidika Mpoto Instagram.

“Angalieni utendaji wake Wa kazi na siyo vyeti vyake guys!! Songa Songa Songa Makonda kama ulivyosema hii vita siyo ndogo na ina wanafiki wengi. @paulmakonda @paulmakonda unawaona waleeeeeee ndiyo siyo watu wazuri kabisa!!,” aliongeza Mpoto.

Mkuu huyo hivi karibuni alidai hayo yote yamezalishwa kutokana na vita yake dhidi ya madawa ya kulevya ambayo umezaa matunda kwa kiasi kikubwa.

Jumatatu, 6 Machi 2017

Gwajima Azindua Opareshi Mpya ya Kumkabili Makonda

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, amezindua operesheni mpya aliyoipa jina la ‘Operesheni 81Mzizima’ huku akimtaka mtu anayeitwa Daud Bashite ajitokeze hadharani kuthibitisha uhalali wa vyeti vyake.

Breaking: Mbunge Tundu Lissu akamatwa na Polisi akitoka mahakamani

Jeshi la Polisi nchini linamshikilia Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu baada ya kuachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Lissu aliachiwa leo asubuhi na Hakimu Mkuu Mkazi, Huruma Shahidi baada ya upande wa Jamhuri ukiongozwa na Wakili Paul Kadushi kuwasilisha hati ya kuondoa shtaka hilo.