Jumanne, 11 Aprili 2017
Jumatatu, 10 Aprili 2017
Jumapili, 9 Aprili 2017
Jumamosi, 8 Aprili 2017
Waziri Nchemba amesema Nimeshtushwa kwa kutokuonekana kwa Msanii Roma
 Msanii wa hip hop Roma Mkatolikia alikamatwa April 5 usiku ambapo taarifa zilianza kuenea katika mitandao ya kijamii kuwa alikamatwa studio za Tongwe Records na watu wasiojulikana akiwa na wenzake na wakapelekwa kusikojulikana.
Waziri
 wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba ambaye ndio anahusika na 
usalama wa raia, ametumia ukurasa wake wa instagram kuonesha kuguswa na 
tukio la kutekwa kwa Roma Mkatoliki na Moni.
Waziri Nchemba ameeleza kuwa amewaagiza polisi kufuatilia na kutoa taarifa kwa umma.
“Nimeshtushwa
 kwa kutokuonekana kwa Msanii Roma na Wenzake mpaka sasa. Nimeshtuka 
zaidi nilipofuatilia na kuambiwa hakuna kituo chochote cha polisi 
kinachowashikilia. Nimeelekeza Polisi wafuatilie kwa karibu kujua undani
 wa tukio hili na hatima yao na kutoa taarifa kwa umma”
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)
































































