ILULA IRINGA TANZANIA

ILULA IRINGA TANZANIA
KIKOTI.COM BLOG - ILULA IRINGA TANZANIA / 0769694963 .......................................

Alhamisi, 7 Mei 2015

huyo ndo rais mpya aliyechaguliwa DARUSO-MUCE

SHAMRA SHAMRA ZA USHINDI 
 Baada ya kampeni zilizo dumu kwa wiki moja, wanafunzi wa chuo kikuu Dar es salaam kitivo cha uwalimu Iringa (MUCE) wamefanya uchaguzi leo, Kwa hali ya amani na utulivu wa hali ya juu na hatimaye kuwapata viongozi wa serikali yao, Uchaguzi huo uliokuwa unawagombea zaidi wawili  katika kila nafasi ulilazimu kuwachukuwa siku nzima kufanyika na hatimaye Bw. BAKARI, IBRAHIMU ameibuka mshindi katika nafasi ya urais, Kwa matokeo mengine ungana nasi kesho

 

Hakuna maoni: