ILULA IRINGA TANZANIA

ILULA IRINGA TANZANIA
KIKOTI.COM BLOG - ILULA IRINGA TANZANIA / 0769694963 .......................................

Ijumaa, 22 Mei 2015

MGOMO wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)

 Na waandishi wetu(Longo na Msuya) kutoka Dodoma;
wanafunzi wa  chou kikuu cha DODOMA wamegoma sababu Kushereweshwa kwa  fedha za kujikimu.. wanafunzi wengi wanatoka maeneo ya vijijini watoto wa maskini,  wanafunzi hao wamegoma na kufanya maandamano ambayo yaliwaza kuzua mapambano baina ya askari FFU na wananachuo hiyo imekuja siku moja baada ya naibu waziri kutoa majibu haya

Niwaombe radhi wanafunzi wa vyuo vikuu.. Tuliongea na viongozi wa vyuo pamoja na bodi na Wizara inayosimamia, kulikuwepo na utaratibu wa kuipa fedha hizo na mpaka jana tayari fedha ilishatoka Wizara ya fedha.. wataalamu ambao wanashughulikia kuzifikisha hizo fedha kwa wanafunzi watoe kwanzaq fedha hizo ndio wakae vikao kuliko kusubiri kupitisha kwa utaratibu ambao wanafunzi wataendelea kupata shida”

“Serikali tunajitahidi kuhakikisha kwamba tunawafikishia kwa wakati fedha.. Serikali imeshatoa fedha na taasisi zinakopita wajitahidi leo leo vyuo vyote viwe vimeshapata fedha hizo”
 hivi ndivo hali ilivokuwa chuo kikuu DODOMA leo
  
FFU WAKIANDAA ULINZI 
 
Wanachuo wakiwa tayari kwa maandamano
 
wanachuo wakisubiri utaratibu
 
wanachuo wakiwa kwenye makundi
 
Mapamano yakianza kati ya polisi na wanachuo

Hakuna maoni: