
Uchaguzi
huo umefanyika mjini Arusha ambako wanachama wa TLS wamekutana
kutekeleza ratiba hiyo pamoja na kupanga mipango mbalimbali ya utendaji
kazi wa chama hicho.
Matokeo ni kama ifuatavyo:
Urais: Kura zilizopigwa 1682
- Tundu Lissu 1411 sawa na asilimia 88
- Francis Stolla 64
- Victoria Mandari 176
- Godwin Mwapongo 64
==>Kwa
upande wa nafasi ya Makamu wa Rais (TLS) mshindi ni Godwin Ngwilimi
aliyekuwa Mwanasheria wa Tanesco na kutimuliwa kwa kupinga Escrow.
Council Members
- Jeremiah Motebesya
- Gida Lambaji
- Hussein Mtembwa
- Aisha Sinda
- Steven Axweso
- David Shilatu
- Daniel Bushele
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni