ILULA IRINGA TANZANIA

ILULA IRINGA TANZANIA
KIKOTI.COM BLOG - ILULA IRINGA TANZANIA / 0769694963 .......................................

Jumatano, 27 Julai 2016

IRINGA: Mahakama Kuu imemhukumu kwenda jela miaka 15

 
#‎PUNDE‬. Habari za Punde, Koti Kuuu Kanda ya Iringa Imemuhukumu Kifungo cha Miaka 15 Askari wa Zamani wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia cha Mkoa Huo kwa Kosa la Mauaji ya Pasipo Kukusudia ya Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Televisheni cha Mashariki mwa Nchi, Dar es Salaam, Chanel Ten Daudi Mwangosi

Hakuna maoni: