ILULA IRINGA TANZANIA

ILULA IRINGA TANZANIA
KIKOTI.COM BLOG - ILULA IRINGA TANZANIA / 0769694963 .......................................

Jumamosi, 11 Juni 2016

Mwigulu Nchemba ndio waziri mpya wa mambo ya ndani


Nafasi yake imechukuliwa na Dr Tizeba, Mwigulu amechukua nafasi hiyo baada ya aliekuwa waziri wa wizara hiyo kuondolewa na rais Kwa madai ya kuingia na kujibu maswali bungeni  akiwa amelewa, wateuliwa wote  wataapichwa na rais ikulu siku ya jumatatu.

Hakuna maoni: