ILULA IRINGA TANZANIA

ILULA IRINGA TANZANIA
KIKOTI.COM BLOG - ILULA IRINGA TANZANIA / 0769694963 .......................................

Jumamosi, 11 Juni 2016

Habari zilizopo katika magazeti ya Leo jumamosi ya tarehe 11/06/2016





NEW MWALIMU EDUCATION CENTRE (MADIZINI-MAJENGO YA KANISA KATORIKI)
New mwalimu education centre (NMEC) Inakualika kuwa inaendelea na kutoa huduma ya tuition, tuition kwaajili ya likizo, itakayoanza usajiri na kusoma tarehe 30/05/2016 hadi tarehe 15/07/2016 KUANZIA SAA MBILI(8:00) Mpaka saa saba(7:00) kwa masomo yote ya;
- Science (sayansi) kama mathematics, chemistry, biology, physics, Agriculture etc
- Arts (sanaa) Kama Geography, history literature in English, English etc
#Kwa kidato chasita, nne na cha pili tutafanya solving ya past paper mbalimbali za mitihani iliyopita na kufundisha namna ya kujibu mtihani wa taifa kutokana na mtaala mpya (new approach from necta)
# Pia walimu watatoa pamphlet (vitini) Kwa kile wanachofundisha Kwa kukuza uelewa
#Mwanafunzi atapewa peni bure mara tu baada ya kufanya usajiri
#Ada Kwa mwezi ni shilling 10,000/= tu.
Tunawalimu makini, wenye uwezo na uzoefu waliofanikiwa kuwa walimu bora katika ufundishaji katika jengo la mgalilwa ambapo tumehama jengo hilo.
Kwa mawasiliano zaidi piga: +255769694963 Mwal kikoti, +255757927380 mwl kilimtali, mwl eliza +255676055136 Mwl kilangi +255659726110.  



















Hakuna maoni: