ILULA IRINGA TANZANIA

ILULA IRINGA TANZANIA
KIKOTI.COM BLOG - ILULA IRINGA TANZANIA / 0769694963 .......................................

Jumapili, 15 Mei 2016

MATUKIO KATIKA PICHA


KUKABIDHIWA MSAADA.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (wa pili kushoto) akikabidhiwa msaada wa moja ya cherehani 73 Dar es Salaam jana na Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Alinajem (wa pili kulia). Kushoto ni Mbunge wa Ukonga, Bonnah Kaluwa, Mwenyekiti wa Mtaa wa Mivinjeni Kata ya Buguruni, Barua Mwakilanga ambao wamepewa cherehani hizo zilizoombwa na mwenyekiti huyo. Kulia ni Meneja wa African Relief Organization Tanzania, Sammy Mohamed. (Picha na Yusuf Badi).

MJADALA - KUFUATILIA.

Wabunge wa CCM wakifuatilia mjadala bungeni mjini Dodoma jana. (Picha na Fadhili Akida).

KUZUNGUMZA.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angella Kairuki (kulia) akizungumza na Mbunge wa Viti Maalumu, Suzan Mgonukulima kweye viwanja vya Bunge mjini Dodoma jana. (Picha na Fadhili Akida).

Hakuna maoni: