ILULA IRINGA TANZANIA

ILULA IRINGA TANZANIA
KIKOTI.COM BLOG - ILULA IRINGA TANZANIA / 0769694963 .......................................

Alhamisi, 12 Mei 2016

Kitaa kunanini:Tapeli aibuka chuo kikuu cha Dar Es salaam(DUCE)

Na stanley kilangi
Picha Grace tapeli)
Katika hali isiyokuwa ya kawaida ilitokea katika chuo kikuu kishiriki cha DUCE baada ya Dada mmoja aliejulikana Kwa jina la kitapeli la Grace ambapo alijikuta akiwa katika ulinzi mkali wa polisi na walinzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam baada ya kukutwa akiwa ndani ya chuo akijihusisha na kuomba na kurubuni wanafunzi waliopo chuoni hapo
Akiongea na waziri wa ulinzi wa DARUSO- DUCE askari wa chuo hicho alidai Dada huyo amekuwa akipita getini hapo kila siku akidai anapita kuelekea nje ya geti la chuo hicho
Dada huyo alikuwa akiomba Pesa hizo Kwa wanafunzi akidai anakaa mbagala na hana uwezo wa kupata mahiji ko angehitaji msaada huo lakini Mara baada ya kufanyiwa mahojiano ya kina ilibainika kuwa dada huyo hakuwa na maisha magumu na alikuwa anaishi na mama yake katika maisha ya kawaida lakini aliamua kuwa ombaomba kutokana na faida kubwa ya kuombaomba katika vyuo vya Dar Es Salaam kikiwepo TIA na DUCE
Dada huyo aliomba msamaha na kukiri kutoridia tena. Tukio hili limetokea tarehe 02/05/2016 Ama kweli mjini shule kijijini tusheni

Hakuna maoni: