ILULA IRINGA TANZANIA

ILULA IRINGA TANZANIA
KIKOTI.COM BLOG - ILULA IRINGA TANZANIA / 0769694963 .......................................

Jumamosi, 14 Mei 2016

Wamiliki wa Blogs Tanzania ndani ya bunge Kwa Mwaliko wa Waziri Nape Nnauye

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgafp0Vztm3iFYGuUkrTwdbfUE__2jE9_l6A_rSJ511uicNWaaxDj3t4_d3m-yae5wusmNO-XINyorWH3kM6eqTuJfY3BW_Ql6S8cILVXlXd5aYnnj2nxa2CcMFywZSKGUHME251JTSwTI/s640/01.JPG
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (aliyevaa tai) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wamiliki wa Blogs (Bloggers) aliowaalika wakati wa kuwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha wa 2016/2017, bungeni Dodoma. Kushoto ni Naibu Waziri wa wizara hiyo,Annastazia Wambura.  
 
Baadhi ya Bloggers wakiwa bungeni wakati wa Bajeti ya wizara hiyo
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhU6tb3c90xAE43ovHZT2eQ6KfAKa4JMU9SIaeuFsvSiMuzK58LgoTlFr6BhARMyLxNuGQkCD59DjAE-jwmlx9IDg5_GPhwDKJLf9b1WZa2D-ebvET-Spnk2sGmQR5Izro7R8PF-EN52go/s640/IMG_1100.JPG 
Waziri Kivuli wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Joseph Mbilinyi 'Mr Sugu' akisoma taarifa ya maoni ya upinzani kuhusu wizara hiyo.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYrUW_AQMGACBg62PGeELJHeX-giqpzHprC2yoJmZI39StG5GTMOlt5Tkief_PBbwIvSMLNSj6zade3d7naT8NQHUCzP4d31aGy4vtc-ws2jleQfxbzqGRriufqeqJGPSmHroOmT2Q4qw/s640/IMG_1106.JPG  

Hakuna maoni: